Kitabu hiki ni mkusanyiko wa insha nilizoandika mwaka 2009 na kuzichapisha katika gazeti la KWANZA JAMII. Vile vile kuna mahojiano niliyofanyiwa na blogu ya Bongo Celebrity, mwaka 2008. Kwa ujumla, yaliyomo ni mawazo kuhusu masuala mbali mbali ya uchumi, siasa, jamii, na utamaduni yanayoihusu Tanzania na dunia kwa ujumla.
This book presents English translations of ten Matengo folktales from Southern Tanzania, which the author recorded in the mid-1970s. Matengo is the author’s mother tongue. In addition to the tales, some of which include songs presented in both Matengo and English, there are commentaries on each tale and a concluding essay on the folktale. Accessible to the ordinary reader, this book is also used in college courses. On November 23, 2017 this book hit the limelight when it was featured on “Jeopardy,” the famous American TV show.
For over 30 years, Africonexion has been bridging the cultural gap between Africans and Americans, empowering them to thrive in diverse environments.