Welcome to Cetara book store.
+84 456-324-982
Product tags
Kiswahili

Tag: Kiswahili

  • View

Showing all 2 results

  • CHANGAMOTO Insha za Jamii $18.00

    Book Type: Paperback

    Kitabu hiki ni mkusanyiko wa insha nilizoandika mwaka 2009 na kuzichapisha katika gazeti la KWANZA JAMII. Vile vile kuna mahojiano niliyofanyiwa na blogu ya Bongo Celebrity, mwaka 2008. Kwa ujumla, yaliyomo ni mawazo kuhusu masuala mbali mbali ya uchumi, siasa, jamii, na utamaduni yanayoihusu Tanzania na dunia kwa ujumla.

    • WAAFRIKA, WAMAREKANI, NA KUSTAHIMILIANA KIUTAMADUNI $18.00

      Book Type: Paperback

      Kitabu hiki ni tafsiri ya kitabu kiitwacho “Africans and Americans: Embracing Cultural Differences” ambacho kimekuwa maarufu tangu kilipochapishwa mwaka 2005. Lengo la kitabu lilikuwa kuwawezesha waAfrika na waMarekani kuelewana na kuepuka kutoelewana na migogoro inayotokana na tofauti za tamaduni. Wasomaji waTanzania na waMarekani walinihimiza kukitafsiri. Hatimaye, mwaka 2023 Mwafrika Merinyo aliamua kukitafsiri. Nami naona amefanya kazi nzuri sana.

      • Author:Joseph Mbele

    Categories

    Filter by price

    Select the fields to be shown. Others will be hidden. Drag and drop to rearrange the order.
    • Image
    • SKU
    • Rating
    • Price
    • Stock
    • Availability
    • Add to cart
    • Description
    • Content
    • Weight
    • Dimensions
    • Additional information
    Click outside to hide the comparison bar
    Compare
    Cart

    No products in the cart.